Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, June 24, 2010

NMB YAKABIDHI GAWIO KWA WANAHISA WAKE, WAANDISHI WATIMULIWA UKUMBINI


Katibu Mkuu wizara ya Fedha na Uchumi, Ramadhan Khijo (kushoto) akimkabidhi mfano wa Hundi ya Sh. milioni 721, 443, 385, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim, Sabetha Mwambenja, wakati wa hafla ya Benki ya NMB, kukabidhi malipo ya Gawio kwa wnahisa wake, iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Wapili (kushoto) ni Mwenyekiti wa Bodi NMB, Misheck Ngatunga na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Ben Christaanse.www.sufianimafoto.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...