Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, June 29, 2010

TAYSON FURY ATOA UBINGWA WA NGUMI UZITO WA JUU UINGEREZA KWA KUMTWANGA JOHN MCDERMOTT


TYSON Fury ametwaa ubingwa wa ngumi katika uzito wa juu Uingereza baada ya kumtwanga
mpinzani wa John McDermott.
Mpiganaji huyo wa Manchester mwenye urefu wa futi 6 na inchi 7 sasa atapambana na Derek Chisora Oktoba baada ya kumwangusha mara mbili McDermott kabala ya kumaliza pambano katika raundi ya tisa kwenye ukumbi wa Brentwood Leisure Centre.
Fury mwenye umri wa miaka 22, alishinda kwa pointi dhidi ya McDermott mkazi wa Essex Septemba mwaka jana.Alisema: "Nilimpiga McDermott mara ya mwisho na nimefanya tena hivyo, sasa bila ya kuhitaji maamuzi ya majaji.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...