Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, June 29, 2010

WAJASILIAMALI NCHINI KUKUTANISHWA NA ZAIN JULAI 20


Meneja Mauzo wa Zain Tanzania Zedi Selemani (kulia) akiongea wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu siku ya Wajasiliamali yatakayofanyika Julai 20 katika Viwanja Vya Karimjee jijini Dar es Salaam chini ya Udhamini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania. Kushoto ni Rais wa East Africa Speakers Bureau, Paul Masahuri waandaaji wa maadhimisho hayo.
Rais wa East Africa Speakers Bureau, Paul Mashauri (kushoto) akiongea wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu siku ya Wajasiliamali itakayofanyika Julai 20 katika Viwanja Vya Karimjee jijini Dar es Salaam chini ya Udhamini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania. Kulia ni Meneja Mauzo wa Zain Zedi Seleman.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...