Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, July 25, 2010

ASHANTI UNITED KUMKUMBUKA MAREHEMU DITOPILE LEO MCHANA


KATIBU Mkuu wa klabu ya AShanti United ya jijini Dar es salaam Haji Bechina (kulia)kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa michezo wamepanga kuwaombea dua marehemu wote waliowahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi wa klabu hiyo itakayofanyika katika shule ya msingi Boma Ilala jijini Dar es salaam akiwemo marehemu DITOPILE

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...