Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, July 26, 2010

MKOA WA ILALA WAMALIZA MASHINDANO YA MCHEZO WA POOL YANAYODHAMINIWA NA SAFARI LAGER


MSIMAMIZI WA MASHINDANO AKIOJIWA
Ofisa wa mauzo wa kampuni ya TBL Godrich Kalebi akiojowa na Jen John wa TBC
MAJAJI WA MASHINDANO WAKIPIGA HESABU
Mchezaji wa pool wa timu ya Kayumba ya buguruni, Festo Yohana akijitaarisha kupiga mpira wakati wa mashindando hayo katika ngazi ya mkoa yanayodhaminiwa na Safari Lager, yaliyofanyika katika ukumbi wa mashujaa vingunguti

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...