Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, July 20, 2010

SHIRIKA LISILO LA KISEREKALI LA HABESA LAWEKA TAWI TANZANIA


Baadhi ya wadau wa HABESHA wakiwa katika mkutano na waandishi wa habari

Mkurugenzi wa mipango wa shirika lisilo la kiserekali la Habesha Marekani, Ras Kofi Kwayana (kushoto) akibadilishana hati za mkataba na Mwenyekiti wa shilika hilo Nchini, Sam Odera Dar es salaam jana kwa ajili ya kuinuwa vipaji vya vijana wasio na uwezo kwenda kujifunza tamaduni za wamarekani weusi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...