Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, July 19, 2010

ZAIN YATOA MSAADA KWA shule ya sekondari ya st.joseph


Mkuu wa shule ya Sekondari ya St. Joseph ya jijini DSM, SR. Edwardina Frederick (kati), akipokea msaada wa kompyuta kutoka kampuni ya simu ya Zain. Wanaokabidhi msaada huo ni mameneja wa Teknohama wa Zain, Asupya Nalingigwa (Kushoto) na Godfrey Masanja (kulia). Jumla ya kompyuta 4 zenye thamani ya Shilingi Milioni sita zimetolewa mwishoni mwa wiki kwa shule hiyo.

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari ya St. Joseph iliyopo Salasala jijini DSM wakifurahia moja ya kompyuta kati ya nne zilizokabidhiwa na kampuni ya simu ya Zain kwa shule hiyo. Kulia ni meneja wa Teknohama wa Zain Asupya Nalingigwa. Jumla ya kompyuta 4 zenye thamani ya Shilingi Milioni sita zimetolewa mwishoni mwa wiki kwa shule hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...