Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, August 29, 2010

ZITO KABWE AZINDUA KAMPENI ZA KUGOMBEA UBUNGE KIGOMA


Mgombea ubunge jimbo la Kigoma kaskazini Zitto kabwe akihutubia mkutano wa hadhra ikiwa ni uzinduzi rasmi wa kampeni zake za kuwania tena nafasi hiyo zilizofanyika katika kijiji cha Mkongoro
Mgombea ubunge jimbo la Kigoma kaskazini Zitto kabwe akivalishwa vazi la jadi la kabila la waha na kutawazwa kuwa mwami (Mtemi) wakati wa uzinduzi wa kampeni zake za kuwania tena nafasi hiyo zilizofanyika katika kijiji cha mkongoro.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...