Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, September 28, 2010

OIKO CREDIT YATOA MSAADA KCMC


Meneja wa Oiko Credit Tanzania Deus Manyenye akisisitiza jambo kwa Mhasibu wa YWCA Moshi, Haidan Shayo na Dk Henry Nyamubi ambao ni wanachama wa chama cha watu wenye ulemavu kutokana na uti wa mgongo mara baada ya hafla ya kukabidhi hundi kwa zenye thamani ya bilioni 2.1/- kwa YWCA Moshi na Saccos ya Wazalendo zote za mjini humo.

Meneja wa Oiko Credit Tanzania Deus Manyenye (Kushoto) akimkabidhi hundi yenye thamani ya milioni 500/- Mwenyekiti wa YWCA Moshi, Valentine Mwinga fedha ambazo zimetolewa kwa mkopo kwa ajili ya ukarabati wa jengo la chama hicho lililokaa muda mrefu bila kufanyiwa matengenezo. Wakati wa hafla hiyo taasisi hiyo pia ilikabidhi hundi yenye thamani ya bilioni 1.6/- kwa Saccos ya Wazalendo ili kusaidia kuwawezesha watu wa hali ya chini. Katikati ni Katibu wa chama hicho, Frida Mbowe.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...