Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, September 27, 2010

SIKINDE YATOA NYIMBO MBILI MPYA

Mkaanga chips wa sikinde akikunguta Drams
Wasanii wa sikinde wakitumbuiza kushoto ni Hassani Kunyata na Mjusi Shemboza
Wasanii wa bendu ya Sukunde wakiwaburudisha wapenzi wao kushoto ni Yusufu Bernad na John Ngosha

waumbaji wa bendi ya sikinde ngoma ya ukae wakiwajibika wakati wa onesho lao lililofanyika katika ukumbi wa DDC Kariakoo Dar es salaam jana kushoto ni Shabani DEde na Hassani Rehani Bichuka

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...