Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, November 26, 2010

MZEE GURUMO ALAZWA MUHIMBILI

Mzee Gurumo aka Kamanda kiongozi wa bendi ya msondo ngoma amelazwa ktk hospitali ya taifa ya muhimbili MNH wodi ya Mwaisela no 5 akisumbuliwa na ugonjwa wa Mapafu kujaa maji, nyepesi zilizopatikana zinasema kwa sasa anapumua kwa msaada wa mashine ya gesi

Wadau na wapenzi wa burudan na watu wote kwa ujumla naomba tumuombee kheri mzee wetu apone haraka!

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...