Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, January 30, 2011

NI MWAKA WA MJOMBA BAND 20011

Sabriba John na Ismail wa Mjomba Band wakikamua usiku huu ndani ya Mzalendo pub.
Baadhi ya waimbaji wa Mjomba Band,toka shoto ni Sabrina John,Filloo pamoja na Aneth Kushaba (aliekuwa mshiriki wa Tusker Project Fame 2010) wakifanya kamuzi la ukweli kabisa ndani ya Mzalendo Pub usiku huu.
Kamera man wa mtaakwa mtaa blog uzalendo umeingia mfukoni na kuanza kuyarudi magoma makali yaliyokuwa yakiachiwa na Mjomba Band usiku huu.
hapa sasa......
Mjomba Mrisho Mpoto akipiga stori mbili tatu na Mh. Zitto Kabwe aliefika katika kiwanja hicyo kumpiga tafu Mjomba Mrisho Mpoto ambaye anapiga hapo kila siku za Alhamisi akiwa na bendi yake nzima.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...