Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, January 18, 2011

RAIS KIKWETE AZINDUA SHULE YA MSINGI MSOGA

RAIS Jakaya Kikwete akisalimiana na wanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Msoga, ambayo imejengwa kwa msaada wa serekali ya China. Kikwete alikagua madarasa baada ya kukabidhiwa shule hiyo na Kaibmu Balozi wa China nchini,Fu Jijun, katika kijiji cha Msoga, Wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani jana

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...