Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, January 30, 2011

SHEIKH MKUU AWASILI GEITA KWA AJILI YA HARAMBEE YA UJENZI WA SHULE

Mkuuwa wilaya ya Geita Mh. Philemoni Shelutete, (kati) akimpokea Sheikh mkuu wa Tanzania Sheikh Issa Bin Shabani Simba, (shoto) katika ikulu ndogo ya Geita. Kulia ni Sheikh mkuu wa wilaya ya Geita Sheikh Haadi Kabaju. Mufti Simba, anatarajiwa kuongoza harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenziwa shule ya kiislamu wilayani humo leo.
Umati mkubwa wa waumini wa Dini ya kiislam, wa geita, wakishiriki maandamano maalum yalioandaliwa kwaajili ya kumpokea Sheikh mkuu wa Tanzania, Sheikh issa Bin Shabani Simba, aliyewasili jana mjini hapa, Sheikh Simba anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa shule ya kiislam ya Geita, harambee hiyo itafanyika leo hapa Geita.
http://issamichuzi.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...