Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, April 18, 2011

MARIA SARUNGI AKAA CHINI NA BASATA KUJADILI MISS UNIVERSE.


Mkurugenzi wa Compus Communications na Mwaandaaji wa Miss Universe, Maria Sarungi(kushoto) akizungumza wakati wa mjadala wa kujadili mapungufu na mafanikio ya uandaaji wa Miss Universe kwenye Ukumbi wa Basata jijini Dar es Salaam.Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa BASATA,Omary Mayangu na Mjumbe wa BASATA, Agnes Kimwaga
Miss Universe akichangia maaada
Mkurugenzi wa Compus Communications na Mwaandaaji wa Miss Universe, Maria Sarungi(kushoto) akizungumza wakati wa mjadala wa kujadili mapungufu na mafanikio ya uandaaji wa Miss Universe kwenye Ukumbi wa Basata jijini Dar es Salaam.Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa BASATA,Omary Mayangu na Mjumbe wa BASATA, Agnes Kimwaga na Kushoto ni Mwaandaaji wa Miss Universe, Mwanakombo Salum

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...