Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, April 10, 2011

TIMU YA VIJAN U23 WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA


Wachezaji wa timu ya vijana ya U23 wakiwa wamebeba uga wa ngano kwa ajili ya watoto yatima katika kituo kilichopo magomeni
Kocha wa timu ya vija JULIO akiongea mara baada ya kukabidhi msaada kwa watoto yatima
Wachezaji wakiingiza ndani msaada huo

NGASA akiwa amembeba mmoja wa watoto yatima mara baada ya kufika katika kituo hicho
Wachezaji wakiendelea kushusha mzigo
Gari la STARS ambalo lilibeba msaada huo likiwa limepaki
http://janejohn5.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...