Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, May 8, 2011

BONANZA LA KUPIGA VITA MALARIA LAFANA SHULE YA MAKONGO

Baadhi ya washiliki wakionesha mavazi yao ya ubunifu wakati wa bonanza la kupiga vita malaria lililofanyika Dar es Salaam jana na kudhaminiwa na Kampuni ya Pepsi na Jalida la Namba Teni
Mmoja ya washiliki akipita na vazi la ubunifu wakati wa tamasha hilo lililofanyika Dar es salaam jana na kudhaminiwa na Kampuni ya Pepsi, Jarida la namba Teni
Wanafunzi wakijadiliana kabla ya tamasha hilo
Wanafunzi wakipanga mikakati watakavyokua uwanjani
Kila mshiliki alionesha vazi lake kwa ustadi mkubwa
Vazi la kimasai linalopendwa na watu wengi Duniani lilikuwepo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...