Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, June 1, 2011

IFM MABINGWA POOL HIGHER LERNING JIJINI DAR.


Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) wakifurahia kitita cha Sh 500,000, baada ya kuibuka mabingwa kwenye mashindano ya Pool kwa vyuo vya Dar es Salaam, yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Coco Beach
Mashabiki,wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wakifuatilia michuano.
Kazi ipo..
Mchezaji wa IFM, Charles Venance akicheza
Chales akicheza
Wachezaji wa CBE wakifuatilia fainali kwa makini
Wachezaji wa IFM wakifuatilia fainali
Mchezaji wa CBE akicheza
Mratibu,Innocent Meleki akifuatilia kwa makini
CBE wakikata taamaa huku baadhi wakiomba Mungu aingilie kati.
IFM wakishangilia na kucheza baada ya kuibuka mabingwa
IFM wakicheza
IFM wakimshukuru Mungu baada ya kuibuka Mabingwa













IFM wakishangilia
IFM wakishangilia wakati wakisubiri kukabidhiwa kitita cha 500,000
Wachezaji wa timu ya IFM, wakiwa na furaha kabla ya kukabidhiwa zawadi yao ya 500.000.
Mratibu wa mashindano ya Pool kwa Higher Lerning,Innocent Meleck akimkabidhi zawadi ya kitita cha Sh 500,000 nahodha wa timu ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM),Rashid Mashaka baada ya kuibuka mabingwa kwenye mashindano hayo yaliyofanyika Coco Beach Dar es Salaam
Mratibu wa mashindano ya Pool kwa Higher Lerning,Innocent Meleck akimkabidhi zawadi ya kitita cha Sh 500,000 nahodha wa timu ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM),Rashid Mashaka baada ya kuibuka mabingwa kwenye mashindano hayo yaliyofanyika Coco Beach Dar es Salaam
Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) wakifurahia kitita cha Sh 500,000, baada ya kuibuka mabingwa kwenye mashindano ya Pool kwa vyuo vya Dar es Salaam, yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Coco Beach

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...