Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, July 16, 2011

KAMBI YA ILALA YAKABIZIWA MAJI KWA AJILI YA MPAMBANO WA JUMAPILI JULAI 17

Rajabu Mhamila Super D Boxing Coach akiwa pamoja na Amir Mohamedi ' Msauzi' baada ya kukabidhi maji katoni 15 alizokabidhi kwa niaba ya Muddy Kalla Mtoto wa Ilala
Super D Boxing Coach akipokea maji toka kwa Amir Mohamedi ' Msauzi' baada ya kukabidhi maji katoni 15 alizokabidhi kwa niaba ya Muddy Kalla Mtoto wa Ilala


Baadhi ya vijana wanaonolewa na kambi ya Ilala wakiwa mazoezini

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...