Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 21, 2011

MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo (jana) mara baada ya kuzindua mahabara ya kutembea.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa(katikati) na(kushoto) mbunge wa Jimbo la Kinondoni (CCM) na (kulia) ni mbunge wa jimbo la Kawe ,Halima Mdee (CHADEMA) wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Zanaki sekondari ambao walikuwa Bungeni leo(jana) kushuhudia bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
PICHA ZOTE NA KINABO - MAELEZO
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda akitoa changamoto kwa wanafunzi wa sekondari ya Zanaki na Shule ya Sekondari Dodoma kuwa wasome kwa bidii na kuepuka migomo . Wanafunzi hao walikuwa Bungeni leo(jana) ili kushuhudia bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na kuangalia shughuli za Bunge.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...