Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 7, 2011

REDDS KUANDAA BONANZA LA WAREMBO NA WANAHABARI WANAWAKE


Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Fimbo Butallah (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya bonanza la michezo litakalowashirikisha warembo watakaoshiriki Redd's Miss Temeke, Ilala na Kinondoni pamoja na waandishi wa habari za michezo wanawake, Jumamosi, kwenye ufukwe wa mbalambweni, Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mratibu wa Miss Ilala, Jackson Kalikumtima na Boi George ambaye ni mratibu wa Miss Kinondoni.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...