Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 14, 2011

SBL YADHAMINI KIPUTE CHAO NA JUKWAA LA WAHARIRI (TEF) ARUSHA

Mkurugenzi Mawasiliano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda akikabidhi jezi na mipira kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Absalom Kibanda. Kulia ni Meneja wa timu ya TEF Masoud Sanani akishuhudua. Vifaa hivyo vitatumika katika mchezo wa kirafiki baina ya kati ya timu ya TEF na SBL mjini Arusha.
Absalom Kibanda akikabidhi vifaa hivyo kwa Meneja wa timu Masoud Sanani na katikati ni Teddy Mapunda akishuhudia.

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda akikabidhi jezi kwa Meneja wa timu ya Jukwaa la Wahariri Masoud Sanani .

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...