Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, August 30, 2011

CCM YATANGAZA MGOMBEA JIMBO LA IGUNGA


KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari jana, katika Offisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM mjini Dar es Salaam, kutangaza mgombea wa jimbo la Igunga kwa tiketi ya CCM. Kushoto ni mlezi wa mkoa wa Tabora, Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba. (Picha na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...