Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, August 13, 2011

KCB yawaaga viongozi wake



Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya KCB Tanzania Edmund Mndolwa (kushoto) akimkabidhi zawadi ya ngao Mkurugezi wa Benki hiyo anayemaliza muda wake, Joram Kiarie baada ya kuitumikia wa kipindi cha miaka 6 katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa KCB Kenya, Peter Muthoka (kulia) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa KCB Tanzania, Edmund Mndolwa na Mkurugenzi wa Benki ya KCB Tanzania Joram Kiarie wakibadilishana mawazo wakati wa hafla ya kuwaaga baadhi ya Wakurugenzi wa benki hiyo jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya KCB Tanzania Edmund Mndolwa akizungumza.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya KCB na Baadhi ya Wakurugenzi wa benki hiyo wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa hafla ya kuwaaga baadhi ya wakurugenzi wa benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa KCB Tanzania Christine Manyenye akiwa na moja ya zawadi ambayo alikabidhiwa mmoja ya Wakurugenzi wa benki hiyo wakati wa hafla ya kuwaaga baadhi ya wakurugenzi wa benki jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...