Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, September 19, 2011

KASEBA AJIFUA KUMKABILI MTAMBO WA GONGO

Bondia, Japhet Kaseba akifanya mazoezi ya kukaza misuri ya tumbo, kambini kwake Mwanyamala, Dar es salaam jana, Kaseba anajiandaa na mpambano na Maneno Osward litakalofanyika mwanzoni mwa mwezi ujao




Bondia, Japhet Kaseba akifanya mazoezi ya kukaza misuri ya tumbo, kambini kwake Mwanyamala, Dar es salaam jana, Kaseba anajiandaa na mpambano na Maneno Osward litakalofanyika mwanzoni mwa mwezi ujao

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...