Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, September 29, 2011

UZINDUZI WA SWAHILI FASHION WEEK YA NNE


Mwanzilishi wa Swahili Fashion Week,Mustafa Asanali (kulia) akiwa na Mwakilishi kutoka Baraza la Sanaa (BASATA),Ghonche Matengo mara baada ya uzinduzi rasmi uliofanyika kwenye Hoteli ya Southern Sun Dar es Salam leo.Maonyesho yataanza rasmi 10,11na 12 ya mwezi Novemba kwenye Makumbusho ya Taifa
Timu ya waandaaji wa Swahili Fashion ya nne wakiwa n mwakilishi wa basata

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...