Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, September 25, 2011

WATANZANIA WASHINDA SOUTH AFRICA


TIMU ya Tanzania inayoshiriki kwa mara ya kwanza kwenye mashindano ya kujibu maswali na kupiga mipira yanayojulikana kama Guinness Mpira Changamoto yanayoendelea huko
Johannesburg Afrika Kusini, wamefanya kufuru isiyotegemewa baada ya kuongoza katika hatua ya tano hapo juzi.

Lukuba ambaye tuliwasiliana naye moja kwa
moja jana alisema ndoto ya washiriki wa Kitanzania ni kuendela kuvuta pesa ili kuubwaga umasikini na kuwatoa nishai wenzao wa Kenya
na Uganda ambao wamekuwa wakiwabeza kabla ya mashindano kuanza. Changamoto hiyo ya Guinness itaoneshwa na televisheni inayopendwa na watazamaji wengi nchini, ITV kwa wiki nane mfululizo. Washindi wa hatua zote nane watajiunga na wanasoka wannne waliostafu soka katika onyesho ambalo pia litashirikisha

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...