Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 21, 2011

BENDI YA TWANGA PEPEPA KUKAMATA WAUZA CD FEKI NCHINI

Mkurugenzi wa bendi ya Afrikan Stars 'Twanga Pepeta' Asha Baraka (kushoto) akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) CD feki aliyouziwa, Dar es salaam leo ambapo amesema kwa kushirikia na na Kampuni ya Msama watahakikisha wanawasaka na kuwakamata watu wote wanaodurufu kimakosa kazi za wasanii na kuwafikisha mahakamani kwa wizi kulia ni Meneja wa Utawala wa bendi hiyo, Hassani Rehani

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...