Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, November 11, 2011

Breaking Nuuuz: Machafuko Makubwa Mwanjelwa Mkoani Mbeya Polisi na Machinga wapigana vikali


Polisi wakijaribu Kuzuia Ghasia katika eneo hilo na kufukuza Wamachinga
Baadhi ya wananchi wakiwa wameokoka katika eneo hilo
Wamachinga Mbali mbali wakikimbia katika eneo la tukio wakati wa machafuko hayo yamepamba moto

Watu Mbali Mbali wakiwa wanakimbia ili kujiokoa na Hatari katika eneo hilo
Picha zote na Mpiga picha wetu maalum

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...