Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, November 9, 2011

MWIZI WA MAFUTA YA TRANSFOMA ANASWA NA UMEME HADI KUFA


Mafundi wa TANESCO wakiutoa Mwili wa mtu ambaye hakufahamika jina juu ya nguzo za umeme ,mtu huyo alinaswa na umeme na kupoteza maisha wakati akijaribu kuiba transifoma jijini Mwanza
Mwili wa mtu ambaye hakufahamika jina ukiwa juu ya nguzo za umeme ,mtu huyo alinaswa na umeme na kupoteza maisha wakati akijaribu kuiba transifoma jijini Mwanza

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...