Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, November 13, 2011

STAR TIMES YATEMBELEWA NA MJUMBE WA KAMATI KUU TOKA CHINA


Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Liu Yunshan kulia akipata maelezo
akiangalia mitambo ya kurusha matangazo ya Kampuni ya Star Media
Wafanyakazi wa kituo cha StarTimes wakisubiri kumpokea Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Liu Yunshan baada ya kuwasili nchini kwa mwaliko wa Chama cha Mapinduzi Dar es Salaam juzi
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Liu Yunshan kulia akielekezwa Mitambo ya Star Times na Ofisa Mtendaji Mkuu. William Lan inavyofanya kazi alipotembelea

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...