Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 21, 2011

UZINDUZI WA MIAKA 10 YA KUZALIWA KWA CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA)


Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Prof.Idris Ahmada Rai akifafanua jambo mbele ya waandishi wa Habari ambao hawapo pichani katika uzinduzi wa Sherehe za kutimiza Miaka 10 ya Chuo hicho, kushotoni kwake ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma Dk. Abdallah Ismail Kanduru
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Prof.Idris Ahmada Rai akizindua CD ya Utafiti wa Mabadiliko ya Tabia ya Nchi katika Visiwa vya Zanzibar kwa Waandishi wa Habari katika hafla iliyofanyika Chuoni hapo Vuga Mjini Zanzibar.
Mmoja kati ya Waandishi wa Habari akiuliza Swali kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Prof.Idris Ahmada Rai ambaye hayupo pichani katika uzinduzi wa Sherehe za kutimiza Miaka 10 ya Chuo hicho kwenye hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo hicho Vuga Mjini Zanzibar.
PICHA ZOTE NA Yussuf Simai-Maelezo Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...