Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, March 26, 2012

CHAMA KIPYA CHA ADC CHAPEWA USAJILI WA MUDA


msajili wa vyama vya siasa John Tendwa akiongea na waandishi wa habari leo ofisini kwake jijini Dar es salaam kabla ya kukikabidhi cheti chama kipya cha siasa hapa nchini kinachujulikana kama (ALLANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE ADC) (PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
John Tendwa kushoto akimkabidhi cheti cha usajili wa muda mwenyekiti wa chama cha ALLANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE ADC Bw. Said Miraji kulia ni kaimu katibu mkuu wa chama (ADC)Bw. Lucas Limbu.
)Mwenyekiti wa chama chan ADC akiongea na wa waandishi wa habari mara baada ya kukabidhiwa cheti cha usajili wa muda leo.
Baadhi ya wakereketwa wa chama cha ADC wakishangilia.
Mwenyekiti wa ADC kulia Bw; Said Miraji akizindua tawi jipya
Mwenyekiti wa ADC kushoto Bw. Said Miraji akipandisha bendera ya chama hicho makao makuu yilioko buguruni jijini Dar es salaam kulia kaimu katibu mkuu Bw. Lucas Limbu wa chama hicho.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...