Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, March 22, 2012

RAIS JAKAYA KIKWETE AZINDUA MRADI WA MAJI PAWAGA, UMEGHARAMIWA NA KANISA LA ANGLICAN KWA ZAIDI YA BILIONI MBILI


Rais Jakaya Kikwete akifungua maji ya bomba kuashiria uzinduzi rasmi wa mradi wa maji katika kijiji cha Itunundu kata ya Pawaga Iringa uliogharimiwa na kanisa la Anglican Dayosisi ya Luaha Mkoani Iringa kwa zaidi shilingi bilioni mbili, Huku wakuu wa kanisal hilo wakishuhudia, kutoka kulia ni Askofu mstaafu wa Dayosisi ya Luaha Dornald Mtetemela, Martha Mgomi Mratibu wa mradi huo na Askofu Joseph Mgomi wa Daayosisi ya Luaha. FULLSHANGWE ilikuwepo katika msafara huo na kukuletea

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...