Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, November 29, 2012

DK.SHEIN AENDELEA NA ZIARA NCHINI VIETNAM.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwapungia mkono wanachama wa Chember of Commerce and Industry wa nchini Vietnam baada ya kuzungumza nao katika jumba la jumuiya hiyo Mjini Hanoi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Mabalozi wa Nchi zilizo katika jangwa la Sahara SADC wakati walipofika kumsalimia Rais katika Hoteli ya Melia Mjini Hanoi nchini Vietnam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...