Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, November 30, 2012

TIBAIJUKA AZINDUA UJENZI WA NYUMBA 48 ZA NHC MCHIKICHINI DAR


 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akifunua pazia ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa ujenzi wa nyumba 48 za kuuza za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilala Mchikichini, Dar es Salaam jana.Anayeongoza kupiga makofi kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
 Mwenyekiti wa Wabunge wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu (kulia), akimkaribisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi  Profesa Tibaijuka kuzindua mradi huo.
                        Waziri Tibaijuka akihutubiwa wakati wa hafla hiyo
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli  akihutubia
                                              Profesa Tibaijuka akikagua ujenzi huo
                                           Moja ya majengo yanayojengwa eneo hilo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...