Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, December 24, 2012

BASATA WATEMBELEA KAMBI YA UNIQUE MODEL 2012


 Washiriki wa kinyaang'anyiro cha mwanamitindo wa mwaka mwenye sifa za kipekee uUnique Model 2012 wakipewa semina na afisa toka Basata,tukio hili lilikuwa katika hoteli ya Lamada mwishoni mwa wiki.
Tunaishukuru serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Baraza la sanaa la Taifa wamekuwa faraja kwetu kutusimamia na kuhakikisha shindano linaendeshwa kwa misingi ya haki na kufuata sheria na ksnuni za mashindano.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...