Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, May 11, 2013

REDDS MISS KIBAHA 2013 CONTAINER KIBAHA 17.05.2013


WAREMBO WANAOWANIA MISS REDDS KIBAHA 2013 KATIKA POZI
USIKU wa Jumatano utabaki kuwa simulizi kwa mashabiki na wadau wa urembo katika jiji la Dar es Salaam ambao walifurika juzi usiku kwenye utambulisho wa warembo wanaowania taji la Redds Miss Kibaha 2013 uliofanyika kwenye ukumbi wa Club ya Kimataifa Club Bilicanas.
 Warembo hao ambao walitambulishwa ikiwa ni sehemu Bilicanas pamoja na kuwajengea kujiamini wawapo jukwaani jambo ambalo walifanikiwa isavyo ikiwa ni pamoja na kulimudu jukwaa. Warembo hao ambao walipanda jukwaani saa saba na nusu usiku wakitambulishwa na Kiongozi wa bendi ya The African Stars Entertainment Twanga Pepeta ambao ndiyo waliotoa burudani katika utambulisho huo.
 Wakati wakipita jukwaani warembo hao walishangiliwa kuanzia mshiriki wa kwanza hadi wa mwisho ambapo walikuwa washiriki 11 kati ya 12 ambao watapanda jukwaa Mei 17 katika ukumbi wa Conteainer Kibaha .
Kiingilio VIP ni sh. 10,000 na siti za kawaida shi 6,000. Kalili anawataja | wadhamini waliothibitisha kuling’arisha shindano hilo ambao ni Michuzi Media Group (MMG), ASET, Chuo cha MC Donald Live Line (Morogoro), Club Bilicanas, PR Promotion Company, Santorine Holiday Resort (Kiluvya), Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia kinywaji chake cha Redd’s Premium Cold, Maji Umoja, Shear Illusions, Fredito Entertainment, CXC Africa, Multichoice Dstv, Image Pub, AKO Catering Services Ltd, Panandi Panandi na Amazon Night Club.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...