Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, May 25, 2013

TASWIRA MBALIMBALI SHINDANO LA MISS KIBAHA


 Safu ya wanenguaji wa kiume wa bendi ya mashujaa wakiburudisha.
 Safu ya Majaji wakigonganisha vichwa  kabla ya kumpata Makia wa Kibaha 2013.
 Washiriki  kumi wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya ukumbi wa Container Maili Moja Kibaha.
 Rapa wa bendi ya Mashujaa  walFaurson na mcheza shoo wakitoa burudani katika shindano hilo.
 Lilian Tungaraza 'Internet' mcheza shoo mahiri wa Mahujaa akitunzwa katika moja na mashabiki .

Internet kazini,
 Internet aliendelea kukomaaa meza moja hadi nyingine.

Mheshimiwa Diwani wa kuteuliwa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kibaha  Celine Wilson ,ambaye pia alikuwa Chief Judge katika shindabno hilo hapa kabla ya kumtangaza mshindi.
 Mratibu wa Shindano hilo Khadija nikionesha Crown atakayovaa mrembo kabla malkia hajatajwa.
Nzera akifurahi mara baada ya kutajwa kuwa ameshinda taji la Redd's Miss Mibaha 2013.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...