Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, January 21, 2014

MAAFA! Watatu wafa kwa kusombwa maji Dodoma


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg7RYm-x69Brj3e-3xFkHPWX868IhjCJQX1WroPb_XQM29EJhh9e5iKxu510ZgI-cOLlWCcRIVLM_6wA7P1SaeFF1e87Xin_Bf_SHusUrKCCpxD-Ki3oJDUIPo-A0mXqmPMcelSEwXM7L4/s1600/DSC_0000556.jpg
WATU watatu wamekufa baada ya kusombwa na maji wakati gari walilokuwa wakiendesha wakitokea   katika kijiji cha Chilonwa Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma kupoteza muelekeo.
Habari zilizotufikia kutoka mjini humo kupitia Msemaji wa wilaya ya chamwino Richard Masimba aliwataja waliofariki ni Jane Ntimba , mkazi wa Area C, Sharifa Saidi  na Sapiencia Augustino waliokuwa kwenye gari aina ya Toyota lenye namba za usajili T694 BMA na mmoja aitwaye David Lukoka kufarikiwa kujiokoa kwa kuruka wakati gari hilo likisombwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...