Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, February 28, 2014

MASHINDANO YA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA ILALA WAPATA MAFUNZO


Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kushoto akifafanua jambo wakati wa mafundisho ya uchomaji nyama bora kwa wachoma nyuma wa bar mbalimbali za Ilala

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kushotoakijibu maswali mbalimbali ya kuhusu uchomaji wa nyama kwa njia ya kitabu alichonacho kwa ajili ya uchomaji nyama bora

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kulia akimkabidhi cheti Richard Mushi kwa ajili ya kushiliki semina ya uchomaji mzuri wa nyama

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kulia akimkabidhi cheti Mary Komba kwa ajili ya kushiliki semina ya uchomaji mzuri wa nyama

Baadhi ya washiliki walioshiliki katika semina ya uchomaji nyama wakiwa katika picha ya panmoja

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...