Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, February 27, 2014

SAFARI NYAMA CHOMA YATOA MAFUNZO KWA BAR ZA TEMEKE


Supervisar Onesmo Swilla akizungumza na wauzaji wa nyama choma wa bar mbalimbali za Temeke Dar es salaam

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kulia akionesha vifaa vya kupimia joto chakula wakati wa mafunzo kwa wachoma nyama wa bar za Temeke

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kulia akipima nyama iliyokuwa tayali kwa ajili ya kuliwa wakati wa mafunzo hayo

Baadhi ya wachoma nyama wa TEmeke

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kulia akimkabidhi cheti cha ushiriki wa mafunzo ya nyama choma Carpar Kimario baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo yaliyofanyika kilwa road pub Dar es salaam

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kulia akimkabidhi cheti cha ushiriki wa mafunzo ya nyama choma Chavalimembe Lutambi baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo yaliyofanyika kilwa road pub Dar es salaam

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kulia akimkabidhi cheti cha ushiriki wa mafunzo ya nyama choma Jerome Kavishe baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo yaliyofanyika kilwa road pub Dar es salaam
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya nyama choma wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mafunzo yao

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...