Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, March 23, 2014

MABONDIA KUMALIZA UBISHI LEO MARCH 23 MANZESE


Bondia Amani Bariki Manny Chuga kushoto akitunishiana misuli na Selemani Motto baada ya kupima uzito ambapo mpambano wao wa kumaliza kubishi unafanyika leo

Mabondia Wa uzito wa Juu I ddi Bonge kushoto na Bernard Mwakasanga wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito jana na mpambano wao unafanyika leo manzese katika ukumbi wa frends corne

Promota Waziri Rosra katikati akiwatambulisha mabondia Iddi bonge na bernard mwakasanga ambapo leo wanamaliza ubishi wa nani zaid

Mabondia Wa uzito wa Juu I ddi Bonge kushoto na Bernard Mwakasanga wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito jana na mpambano wao unafanyika leo manzese katika ukumbi wa frends corne
Ally Bugingo akipima uzito jana kwa ajili ya mpambano wake na hasani mandula kushoto mpambano wao unafanyika leo march 23 katika ukumbi wa frends corner manzese

Hassani Mandula na Ali bugingo wakitunishiana kisuli

Promota waziri rosta baada ya kupromoti ngimi sasa na yeye ataingia ulingoni hivi karibuni kwa kudhaminiwa na kampuni ya kizarendo ya SUPER D BOXING COACH AND PROMOTION

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...