Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, March 31, 2014

WAKAZI WA KIJIJI CHA KABWE WILAYA YA NKASI MKOANI RUKWA WAFAIDIKA NA UVUVI WA SAMAKI ZIWA TANGANYIKA



 Pichani ni baadhi ya akina mama wakiwa wametoka kununua samaki kwenye bandari ndogo ya Kabwe,Wilayani Nkasi mkoani Rukwa mapema leo jioni,Akina mama hao wameeleza kuwa wengi wao wamekuwa wakijishughulisha na biashara ya samaki ili kujiingizia kipato katika suala zima la kujikwamua na umaskini.
 Mkazi wa kijiji cha Kabwe,akiwa amebeba dishi lililosheheni samaki aina ya Migebuka,anasema kama uonavyo hiyo shehena ya  migebuka huuzwa shilingi 30,000/=
Wavuvi wakitia nanga kando kando ya bandari ya Kabwe .Credit Michuzi Jr Blog

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...