Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, April 20, 2014

MABONDIA CHEKA,MIYEYUSHO WASHINDWA KUTAMBA KING CLASS MAWE AMSAMBALATISHA MUSTAFA DOTO

 Bondia Ibrahimu Class' King Class Mawe' kushoto akimwadhibu Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba April 19 jijini Dar es salaam King class alishinda kwa pointi mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 Bondia Ibrahimu Class' King Class Mawe' kulia  akiendelea kumwadhibu Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba April 19 jijini Dar es salaam King class alishinda kwa pointi mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Mustafa Dotto kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mpambano wao uliofanyika PTA Sabasaba King Class alishinda kwa Point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

  Bondia Ibrahimu Class' King Class Mawe' kushoto akimwadhibu Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba April 19 jijini Dar es salaam King class alishinda kwa pointi mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 FURAHA YA USHINDI
 KING CLASS MAWE AKIOJIWA BAADA YA KUIBUKA MSHINDI
 KING CLASS MAWE KATIKATI ALIEKAA AKIWA NA MARAFIKI ZAKE BAADA YA USHINDI
 KING CLASS MAWE KATIKATI ALIEKAA AKIWA NA MARAFIKI ZAKE BAADA YA USHINDI
Bondia Fransic Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Fransic Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Fransic Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

 Bondia Sukkasem Kietyongyuth  kutoka Thailand kulia akiwa amemkalisha bondia fransic Miyeyusho katika raundi ya kwanza ya mpambano wa raundi kumi na kufanikiwa kwshinda kwa K,O Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Fransic Miyeyusho kushoto akijitutumua kupigana na  Bondia Sukkasem Kietyongyuth  kutoka Thailand  miyeyusho alipigwa raundi ya kwanza bila huruma picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Fransic Miyeyusho kushoto akijitutumua kupigana na  Bondia Sukkasem Kietyongyuth  kutoka Thailand  miyeyusho alipigwa raundi ya kwanza bila huruma picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...