Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 27, 2014

NGUMI KUPIGWA JUMAMOSI PUGU KIRUMBA ZULU PARADAISE

Bondia Jems Martn kushoto akitunishiana misuli na Hamza Mchanjo baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumamosi utakaofanyika katika ukumbi wa Zulu Paradaise uliopo Pugu Kirumba Road Picha na www.superdboxing coach.blogspot.com


Dr, Mohamed Hassani 'Bula' akimpima Afya bondia Twalibu Mchanjo baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano na Adamu Ngange jumamosi hii
Bondia Twalibu Mchanjo akipima uzito

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...