Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 11, 2014

RAIS DR. JAKAYA KIKWETE AKAGUA MRADI UJENZI WA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU MKINGA MKOANI TANGA


DSC_9443
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwasili katika eneo la mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba (NHC) na kupokelewa na Ndg. Felix Maagi Kaimu Mkurungenzi Mkuu NHC na Mkurugenzi wa Fedha kulia wakati alipokagua mradi huo uliopo katika wilaya ya Mkinga mkoani Tanga akiwa katika ziara yake ya kikazi jana Rais Dr. Jakaya Kikwete anaendelea na ziara mkoani humo leo.
DSC_9451
Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na wafanyakazi mbalimbali wa shirika la Nyumba wakati alipowasili katika eneo la mradina kujionea shughuli za ujenzi katika mradi huo
DSC_9455
Rais Dr. Jakaya Kikwete akizindua mradi huo pamoja na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mh. George Simbachawene katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Felix Maagi na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mh. Chiku Galawa
DSC_9456
Rais Dr. Jakaya Kikwete na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mh. George Simbachawene kulia na Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Felix Maagi kwa pamoja wakipiga makofi mara baada ya Rais kuzindua rasmi mradi huo uliopo wilayani Mkinga

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...