Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 10, 2014

AMIGOLAS AZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR


Mwili wa marehemu, Khamis Kayumbu ‘Amigolas’ ukiwasili nyumbani kwao Mburahati leo jijini Dar es Salam.
Mjane wa marehemu, Bi Modesta Emmanuel akiwa amezimia msibani.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Mengere 'Steve Nyerere' akiwasili msibani.
Mkurugegenzi wa ASET, Asha Baraka akiwa msibani.
Wanenguaji wa Twanga Pepeta wakilia msibani.
Mwili wa marehemu, Khamis Kayumbu ‘Amigolas’ ukibebwa na waombolezaji kuelekea katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Msanii wa Filamu nchini, Jacob Steven 'JB' (wa pili kutoka kulia) akielekea makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Waombolezaji wengine wakijiandaa kuelekea katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Viongozi wa dini ya Kiisilam wakiomba dua mara baada ya kuzika marehemu Khamis Kayumbu ‘Amigolas’ kwenye makaburi ya Kisutu Jijini Dar jioni hii.
Hili ndilo kaburi alimozikwa Marehemu Khamis Kayumbu ‘Amigolas’.
MAZIKO ya mwanamuziki wa zamani wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘Amigolas’ aliyefariki juzi  amezikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam na kuhudhuria na mamia ya watu.
(PICHA: RICHARD BUKOS NA DENIS MTIMA/GPL)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...