Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, November 16, 2014

K-VANT GIN YADHAMINI BURUDANI ZA MALAIKA BAND TTC CLUB MWISHONI MWA WIKI

 Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade watengenezaji wa kinywaji cha K-Vant gin, ,Geofrey Mkunde kushoto  akimkabidhi katoni ya kinywaji hicho Vendelin Meela wakati wa tamasha kubwa liliodhaminiwa na kampuni hiyo ambapo Malaika band
 walikuwa wakitoa burudani katika ukumbi wa Ttc club Chang'ombe mwishoni mwa wiki iliyopita kampuni hiyo imekuwa ikidhamini burudani mbalimbali kwa ajili ya kuwapatia raha wateja wao baada ya kazi za kutwa nzima wengine na maofisa kutoka kampuni hiyo
Mkuu wa mauzo wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade watengenezaji wa kinywaji cha K-Vant gin, ,Albert Kingu kushoto  akimkabidhi katoni ya kinywaji hicho Vendelin Meela wakati wa tamasha kubwa liliodhaminiwa na kampuni hiyo ambapo Malaika band
 walikuwa wakitoa burudani katika ukumbi wa Ttc club Chang'ombe mwishoni mwa wiki iliyopita kampuni hiyo imekuwa ikidhamini burudani mbalimbali kwa ajili ya kuwapatia raha wateja wao baada ya kazi za kutwa nzima wengine na maofisa kutoka kampuni hiyo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...