Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, November 18, 2014

MDAU ASIA KINJENGA HAPATA DIGRII YA ELIMU YA JAMII SOSHIOLOJIA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

Asia Kinjenga kulia akiwa na nyuso ya furaha pamoja na mwenzie Felician Francis baada ya kumaliza digrii ya elimu ya jamii katika sosholojia wakati wa mahafali ya 48 ya chuo kikuu cha Dar es salaam hivi karibuni
Asia Kinjenga wa pili kulia akiwa na wahitimu wenzie wa mahafali ya 48 katika chuo kikuu cha Dar es salaam
Asia Kinjenga
Asia Kinjenga akiwa na familia yake


Asia Kinjenga kulia akipongezwa kwa kuvalishwa shada la mauwa na mama yake mzazi Bi, Anchimole Lutengano
wakati wa mahafali ya 48 ya chuo kikuu cha Dar es salaam hivi karibuni ambapo alipata digrii ya elimu ya jamii katika soshiolojia
Asia Kinjenga katikati akiwa na mama yake mzazi Anchimole Lutengano kulia na bibi yake wakati wa mahafali ya 48 ya chuo kikuu cha Dar es salaam hivi karibuni ambapo alipata digrii ya elimu ya jamii katika soshiolojia

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...